DUUH FACEBOOK IMEHARIBU WATU SANA..EMBU CHEKI HII MAMBO HAPA. Unknown 12:15 PM Unknown The Dady D Blog: Jamaa Kashazoea kuona na Kupata habari Fb so hata mambo mengine ambayo yanaitaji umakini mkubwa yeye anachukulia kama masihara yani eti picha ipigwe then iwekwe Facebook alafu wam tag ataicheki Humo.. Haya ndio Mambo ya Digital... Wewe Una Maoni gan ? Twitter Facebook Google Tumblr Pinterest
1 comment:
mi naona sawa tu kwani fb huwezi kuitambua picha ya mke wako? aaaah banah ameshakuwmbia yuko busy
Post a Comment